)
2023-12-05T15:37:00+00:00
KANDANDA Pacome ashinda bao Bora la Wiki michuano ya CAF
Nyota huyo amesajiliwa na Yanga msimu huu akitokea Asec Mimosa ya Ivory Coast
2023-12-05T15:37:00+00:00
Nyota huyo amesajiliwa na Yanga msimu huu akitokea Asec Mimosa ya Ivory Coast
2023-11-28T09:00:00+00:00
Huo umekuwa ni utaratibu wa Yanga msimu huu katika mechi za kimataifa kutoka na mchezaji maalumu ambaye anaibeba siku husika.
2023-11-25T06:33:00+00:00
Matokeo hayo yameifanya timu hiyo kushika mkia kutoka Kundi D la michuano hiyo ikiwa haina alama
2023-11-22T18:05:00+00:00
Jezi zilizozinduliwa ni za aina tatu ambapo za nyumbani ni rangi ya kijani, ugenini ni rangi ya njano na nyeusi ni ile ya ziada.
2023-11-20T19:06:00+00:00
Amefungiwa michezo mitatu baada ya kuonesha utovu wa nidhamu wakati wa mechi dhidi ya Coastal Union.
2023-11-17T17:30:00+00:00
Khalid Aucho amefungiwa mechi hizo na faini ya shilingi Tsh500,000 kutokana na utovu wa nidhamu aliouonesha Novemba 8
2023-11-14T21:00:00+00:00
Timu hiyo inatarajia kuanzia kampeni yao hatua ya makundi ugenini katika mechi iliyopangwa kuchezwa kati ya Novemba 24 au 25
2023-11-12T16:21:00+00:00
Yupo nchini humo kwa takribani siku tatu na alikwepo uwanjani kushuhudia 'Soweto Derby' mechi kati ya Kaizer Chiefs walioshinda bao 1-0 dhidi ya Orlando Pirates Jumamosi.
2023-11-12T11:18:00+00:00
Yanga fans unite for a historic celebration, feasting on victory after their recent win over Simba.
2023-11-11T15:31:00+00:00
Mchezo wa kwanza hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika utafanyika Novemba 25 nchini Algeria.