2023-11-06T07:31:00+00:00
KANDANDA Dkt. Samia aipa 'tano' Yanga kuifunga Simba 5-1
Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani ya Watanzania
2023-11-06T07:31:00+00:00
Upinzani wenu wa jadi wa zaidi ya miaka 85 sasa ni sehemu muhimu ya burudani ya Watanzania
2023-11-04T15:33:00+00:00
Sina presha yoyote tumejiandaa kama tunavyofanya kwenye mechi nyingine, kikubwa kesho ni kujiepusha na makosa kwani makosa madogo yanaweza kuamua mechi
2023-10-30T12:07:00+00:00
Robertinho amesema mchezo wa 'derby' siku zote huwa ni mgumu na ndio maana anahitaji muda kwa ajili ya kukiandaa kikosi chake ili kufanya vizuri kwenye mchezo huo.
2023-10-28T20:09:00+00:00
Aziz KI ameingia kuwania tuzo hiyo akiwa ametoka kufunga mabao matatu 'Hat trick' dhidi ya Azam huku Nzengeli akiwa ametoka kufunga mabao mawili dhidi ya Singida Fountain Gate.
2023-10-23T21:00:00+00:00
Singida FG wanajiandaa na mechi hiyo huku wakiwa na kumbukumbu nzuri ya ushindi wa 3-2 kwenye mchezo wao uliopita waliocheza ugenini dhidi ya Namungo.
2023-10-23T20:16:00+00:00
Mchezo huo uliopigwa Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam, umeifanya Yanga kupanda kileleni mwa msimamo wa ligi.
2023-10-19T18:30:00+00:00
Klabu ya Yanga imebadilisha ratiba ya mechi zao dhidi ya Azam na Singida FG, zitachezwa siku moja, mechi ya kwanza itakuwa Jumatatu.
2023-10-19T18:00:00+00:00
Kocha wa Simba SC, Robert Oliviera, na wa Al Ahly, Marcel Koller, wajiandaa kwa mchezo wa ufunguzi wa michuano ya AFL nchini Tanzania.
2023-10-19T06:40:00+00:00
Licha ya kukiri kuwa teknolojia ya VAR ni ghali lakini Mwana FA, amesema ni muhimu kufikia huko sambamba na kuboresha maslahi ya waamuzi nchini.
2023-10-12T11:28:00+00:00
Tayari Yanga wameshatambua kundi ambalo watakuwa kupambania pointi likiwa ni pamoja na Al Ahly ya Misri kwenye kundi hilo.