2023-12-05T15:37:00+00:00
KANDANDA Pacome ashinda bao Bora la Wiki michuano ya CAF
Nyota huyo amesajiliwa na Yanga msimu huu akitokea Asec Mimosa ya Ivory Coast
2023-12-05T15:37:00+00:00
Nyota huyo amesajiliwa na Yanga msimu huu akitokea Asec Mimosa ya Ivory Coast
2023-12-01T09:38:00+00:00
Kenya is set to host African Clubs Association offices, heralding unity in African football, as it prepares to host the 2027 Africa Cup of Nations.
2023-11-28T09:00:00+00:00
Huo umekuwa ni utaratibu wa Yanga msimu huu katika mechi za kimataifa kutoka na mchezaji maalumu ambaye anaibeba siku husika.
2023-11-25T06:33:00+00:00
Matokeo hayo yameifanya timu hiyo kushika mkia kutoka Kundi D la michuano hiyo ikiwa haina alama
2023-11-22T18:05:00+00:00
Jezi zilizozinduliwa ni za aina tatu ambapo za nyumbani ni rangi ya kijani, ugenini ni rangi ya njano na nyeusi ni ile ya ziada.
2023-11-20T19:06:00+00:00
Amefungiwa michezo mitatu baada ya kuonesha utovu wa nidhamu wakati wa mechi dhidi ya Coastal Union.
2023-11-15T17:25:00+00:00
Bandari managed to become the only Kenyan side to make the Africa Soccer Zone’s power rankings for the week, which prompted them into aiming a sly dig at Gor Mahia and the acquisition of a new bus.
2023-11-14T21:00:00+00:00
Timu hiyo inatarajia kuanzia kampeni yao hatua ya makundi ugenini katika mechi iliyopangwa kuchezwa kati ya Novemba 24 au 25
2023-11-11T15:31:00+00:00
Mchezo wa kwanza hatua ya makundi wa Ligi ya Mabingwa Afrika utafanyika Novemba 25 nchini Algeria.
2023-11-07T13:08:00+00:00
Fei Toto amerudishwa kikosi baada ya kuonesha kiwango bora tangu kuanza kwa msimu huu akifunga mabao manne na asisti zaidi ya mbili katika mechi nane za Ligi Kuu Tanzania Bara.